Tag: Nadia Ahmed Abdalla
Pwani FM: #KenyaNiMimi itainua maisha ya vijana – Asema Nadia Abdalla
Katibu Mwandamizi katika Wizara ya Mawasiliano, Teknoljia, Uvumbuzi na Maswala ya Vijana Nadia Ahmed Abdalla amehimiza kuwa vuguvugu la #KenyaNiMimi itainua maisha ya vijana. Aliongeza kuwa vijana wajitokeze, wafahamishwe zaidi […]