Radio Taifa: Makala ya matukio muhimu mwaka huu wa 2020

Miongoni mwa habari zilizogonga vichwa ni pamoja na kuenea kwa virusi vya korona nchini, Kuaga dunia kwa Rais mstaafu Daniel Moi, kuzinduliwa kwa BBI na pia Kustaafu kwa Jaji mkuu David Kenani Maraga.
Kwa mengi zaidi ungana na Bernard Maranga kwa mkusanyiko huu saa 6: 30 jioni Jumatatu hii na Alhamisi Saa 8 :30pm.