Shirika la WHO linafanya kazi kwa karibu na kamati ya kitaifa ya dharura ya kupambana na corona

Dkt Onsongo pia ameelezea mikakati wa WHO katika kupambana na kusambaa kwa virusi vya corona humu nchini.
Kuhusu ugonjwa wa corona kutoa dalili nyingine kuliko zile zinazofahamika,Dkt Onsongo ameweka wazi kuwa upo utafiti kufuatilia dalili hizo huku akieleza matumaini ya kupatikana kwa chanjo.
Asante Sana Pwani FM na Dada Dalila kwa fursa hii safi ya mahojiano kuhusu ya Covid19