Pwani Mchana: Mama na wanawe wawili wameteketea hadi kufa ndani ya nyumba moja ya kukodi katika mtaa wa Jitoni
Mama na wanawe wawili wameteketea hadi kufa ndani ya nyumba moja ya kukodi katika mtaa wa Jitoni eneo bunge jomvu kaunti ya Mombasa usiku wa kuamkia leo. Waziri wa elimu katika kaunti ya kilifi Gabriel Katana amewataka walimu kutafuta njia mbadala ili kujikimu kimaisha .