Pwani Mchana: Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga amejitenga na siasa za kaunti ya kirinyaga

Wakazi katika kaunti ya kwale wanawataka wawakilishi wadi wa bunge la kaunti hiyo kusitisha mchakato wa kumbandua mamlakani gavana Salim Mvurya na naibu wake Fatuma Achani.
Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga amejitenga na siasa za kaunti ya kirinyaga na kusema kuwa hajawahi kutana na gavana Anne Waiguru huku akimtaka gavana huyo kubeba msalaba wake mwenyewe
I appreciate all poeple who will come out to donate blood it’s a great move