Mtu anapokuletea Barakoa kataa

Rais huyo amekuwa Kwenye rekodi ya kuwaambia raia wake kuendelea na maisha yao swala ambalo limewatamausha watalaamu wa Afya. Amebakia na miezi kadhaa kukamilisha mhula wake wa Kwanza tangu kuingia madarakani mwaka wa 2015